Visitors


hit counter

Breaking News

728-banner


web counter

OnAir

Saturday, 23 November 2013

Skendo ya Msanii JB kufumaniwa na Mke wa mtu yachukua sura Mpya baada ya mke kugundulika ana Mimba...!!



LILE sakata la madai kwamba, staa mkubwa wa filamu za Bongo, Jacob Stephen ‘ JB’ amenaswa akiwa na mke wa mtu mjini Dodoma limeingia katika sura tofauti baada ya habari yenyewe kujaa utata.Staa mkubwa wa filamu za Bongo, Jacob Stephen ‘ JB’.Habari za awali zilidai kuwa, tukio hilo lilitokea wikiendi iliyopita katika hoteli moja (jina lipo) iliyopo mjini Dodoma ambapo JB alikutwa na mke huyo wa mtu aliyetambulika kwa jina moja la Sarah.Kwa mujibu wa mwanaume aliyedai kuwa ni mume wa Sarah aitwaye...
MPENZI MSOMAJI TUPE MAONI YAKO…

No comments:

Post a Comment

Designed By Published.. Blogger Templates