Visitors


hit counter

Breaking News

728-banner


web counter

OnAir

Friday, 7 March 2014

SIRI YA JUMBA LA AJABU LA RAISI ROBERT MUGABE YAFICHUKA


Juzi Maraisa wa KiAfrica, Mabillionea, Wafanya Biashara Matajiri, Wasomi na ndugu pia walipata fursa ya kuhudhuria harusi ya mtoto wakike wakwanza wa Raisi Robert Mugabe aitwae Bona.

Kwenye harusi hiyo wageni waliokadiliwa kufika 4000 walipata pia fursa ya kuona Mjengo wa familia ya Mugabe ambao ulikua mjengo wa siri kwa miaka mingi sana  Msemaji wa Raisi Mugabe anaejulikana kwa jina la George charamba amesema Nyumba hiyo ya Mugabe thamani yake ni  zaidi ya Millioni 10 za kimarekani , ilitengenezwa kwa michango kutoka Zanu PF pamoja na wengine wasiojulikanahizi ndio Picha chache za harusi io na pamoja na jumba ilo













No comments:

Post a Comment

Designed By Published.. Blogger Templates